이 Publication Issue 언어에 존재하지 않는, 에보기: Kiswahili (sw),
또는 Google 번역을 사용:  

Mbegu ni moja ya pembejeo kuu za uzalishaji wa chakula. Wakulima duniani kote wamekuwa wakijua jambo hili kwa karne nyingi. Mamilioni ya familia na jamii za kilimo wamefanya kazi ya kuchagua mbegu na kuzitunza kwa ajili ya matumizi ya msimu wa kilimo unaofuata. Hii ndio imeruhusu kilimo kuenea na kukua na kulisha dunia kwa chakula tofauti.


Collections